sw_tn/mat/26/23.md

393 B

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu y ake mwenyewe

ataondoka

"akufa"

kama ilivyoandikwa

"kama vile manabii walivyoandika juu yake katika maandiko"

Mtu yule ambaye kwake Mwana wa Adamu asalitiwa.

"Mtu ambaye amsaliti Mwana wa Adamu."

Je, ni mimi Tabi?

"Rabi, kwa hakika si mimi nitakayekusaliti"

Umesema jambo hilo wewe mwenyewe

"wewe ndiye unayesema"