forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
393 B
Markdown
24 lines
393 B
Markdown
|
# Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu y ake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
# ataondoka
|
||
|
|
||
|
"akufa"
|
||
|
|
||
|
# kama ilivyoandikwa
|
||
|
|
||
|
"kama vile manabii walivyoandika juu yake katika maandiko"
|
||
|
|
||
|
# Mtu yule ambaye kwake Mwana wa Adamu asalitiwa.
|
||
|
|
||
|
"Mtu ambaye amsaliti Mwana wa Adamu."
|
||
|
|
||
|
# Je, ni mimi Tabi?
|
||
|
|
||
|
"Rabi, kwa hakika si mimi nitakayekusaliti"
|
||
|
|
||
|
# Umesema jambo hilo wewe mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"wewe ndiye unayesema"
|