forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
973 B
Markdown
44 lines
973 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inaanza na habari ya mwanamke akimwaga manukato ya gharama kabla ya kifo cha Yesu
|
|
|
|
# Wakati
|
|
|
|
Hil ni neno linalotumika kuazisha habari mpya. Mathayo anaanza kuelezea habari mpya
|
|
|
|
# Simoni mkoma
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa huyu ndiye mtu ambaye Yesu alimponya kwa ukoma
|
|
|
|
# Alipokuw amejinyoosha.
|
|
|
|
"Yesu alikuwa amekaa upande wake". Unaweza kutumia neno la lugha yako kwa mkao wa watu ambavyo huwa wakati wa kula.
|
|
|
|
# Mwanamke alimwendea.
|
|
|
|
Mwanamke alikuja kwa Yesu.
|
|
|
|
# Mkebe wa alabasta.
|
|
|
|
chombo ambacho hugharimu sana kwa kukinunua kilicho tengenezwa na jiwe laini.
|
|
|
|
# Mafuta
|
|
|
|
Mafuta ambayo yana harufu nzuri.
|
|
|
|
# aliyamimina juu ya kichwa chake
|
|
|
|
Yule mwanamke alifanya hivi kuonesha heshima kwa Yesu
|
|
|
|
# Ni nini sababu ya hasara hii.
|
|
|
|
"Mwanamke huyu amefanya jambo baya kwa kuharibu mafuta haya"
|
|
|
|
# Haya yangeweza kuuzwa kwa thamani kubwa na kupew masikini
|
|
|
|
"angweza kuyauza kwa thamani kubwa ya pesa na kuitoa ile pesa
|
|
|
|
# kupewa masikini
|
|
|
|
"kwa watu masikini"
|