sw_tn/mat/26/06.md

973 B

Sentensi unganishi

Hii inaanza na habari ya mwanamke akimwaga manukato ya gharama kabla ya kifo cha Yesu

Wakati

Hil ni neno linalotumika kuazisha habari mpya. Mathayo anaanza kuelezea habari mpya

Simoni mkoma

Inamaanisha kuwa huyu ndiye mtu ambaye Yesu alimponya kwa ukoma

Alipokuw amejinyoosha.

"Yesu alikuwa amekaa upande wake". Unaweza kutumia neno la lugha yako kwa mkao wa watu ambavyo huwa wakati wa kula.

Mwanamke alimwendea.

Mwanamke alikuja kwa Yesu.

Mkebe wa alabasta.

chombo ambacho hugharimu sana kwa kukinunua kilicho tengenezwa na jiwe laini.

Mafuta

Mafuta ambayo yana harufu nzuri.

aliyamimina juu ya kichwa chake

Yule mwanamke alifanya hivi kuonesha heshima kwa Yesu

Ni nini sababu ya hasara hii.

"Mwanamke huyu amefanya jambo baya kwa kuharibu mafuta haya"

Haya yangeweza kuuzwa kwa thamani kubwa na kupew masikini

"angweza kuyauza kwa thamani kubwa ya pesa na kuitoa ile pesa

kupewa masikini

"kwa watu masikini"