sw_tn/mat/25/34.md

681 B

Mfalme... mkono wake wa kulia

"Mimi mfalme, ... mkono wangu wa kulia"

Mfalme...mkono wake wa kulia

Yesu alijisema yeye mwenyewe katka nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Mfalme...mkono wangu wa kulia."

Njoni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu.

"Njoni, ninyi ambao baba yangu amewabariki."

Baba yangu

Hili ni jina mashuhuri la Mungu linaloonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu.

"Urithini ufalme ambao Mungu ameufanya tayari kwa ajili yenu."

urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajiloi yenu

"pokeeni baraka za utawala wa Mungu ambazo Mungu alipanga kuwapeni"

tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu

"Tangu hapo alipouumba ulimwengu"