forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
681 B
Markdown
28 lines
681 B
Markdown
|
# Mfalme... mkono wake wa kulia
|
||
|
|
||
|
"Mimi mfalme, ... mkono wangu wa kulia"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme...mkono wake wa kulia
|
||
|
|
||
|
Yesu alijisema yeye mwenyewe katka nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Mfalme...mkono wangu wa kulia."
|
||
|
|
||
|
# Njoni, ninyi mliobarikiwa na Baba yangu.
|
||
|
|
||
|
"Njoni, ninyi ambao baba yangu amewabariki."
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina mashuhuri la Mungu linaloonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu
|
||
|
|
||
|
# Urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajili yenu.
|
||
|
|
||
|
"Urithini ufalme ambao Mungu ameufanya tayari kwa ajili yenu."
|
||
|
|
||
|
# urithini ufalme ulioandaliwa kwa ajiloi yenu
|
||
|
|
||
|
"pokeeni baraka za utawala wa Mungu ambazo Mungu alipanga kuwapeni"
|
||
|
|
||
|
# tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu
|
||
|
|
||
|
"Tangu hapo alipouumba ulimwengu"
|