forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
544 B
Markdown
32 lines
544 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anahitimisha mithali yake ya bwana na mtumwa ...
|
|
|
|
# Anasema moyoni mwake.
|
|
|
|
"Anafikiri akilini mwake."
|
|
|
|
# Bwana wangu amekawia
|
|
|
|
Bwana wangu hafanyi haraka kuja
|
|
|
|
# katika siku ambayo hatarjii, na katika saa ambayo haijui
|
|
|
|
Virai hivi vyote vinamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa bwana atakuja wakati ambao mtumwa wake hamtarajii kuja.
|
|
|
|
# Kumweka katika nafasi au kumhesabu kama.
|
|
|
|
"Kumtendea"
|
|
|
|
# kumweka katika nafasi
|
|
|
|
"kumtendea"
|
|
|
|
# atamkata vipande
|
|
|
|
kumfanya mtu aumie sana
|
|
|
|
# kilio na kusaga meno
|
|
|
|
Tazama 8:11
|