forked from WA-Catalog/sw_tn
544 B
544 B
Sentensi unganishi
Yesu anahitimisha mithali yake ya bwana na mtumwa ...
Anasema moyoni mwake.
"Anafikiri akilini mwake."
Bwana wangu amekawia
Bwana wangu hafanyi haraka kuja
katika siku ambayo hatarjii, na katika saa ambayo haijui
Virai hivi vyote vinamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa bwana atakuja wakati ambao mtumwa wake hamtarajii kuja.
Kumweka katika nafasi au kumhesabu kama.
"Kumtendea"
kumweka katika nafasi
"kumtendea"
atamkata vipande
kumfanya mtu aumie sana
kilio na kusaga meno
Tazama 8:11