sw_tn/mat/24/48.md

544 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mithali yake ya bwana na mtumwa ...

Anasema moyoni mwake.

"Anafikiri akilini mwake."

Bwana wangu amekawia

Bwana wangu hafanyi haraka kuja

katika siku ambayo hatarjii, na katika saa ambayo haijui

Virai hivi vyote vinamaanisha kitu kilekile. vinasisitiza kuwa bwana atakuja wakati ambao mtumwa wake hamtarajii kuja.

Kumweka katika nafasi au kumhesabu kama.

"Kumtendea"

kumweka katika nafasi

"kumtendea"

atamkata vipande

kumfanya mtu aumie sana

kilio na kusaga meno

Tazama 8:11