sw_tn/mat/22/23.md

349 B

Sentensi unganishi

Masadukayo wanajaribu kumkamata Yesu kwa kumtega kwa swali gumu kuhusu ndoa na ufufuo wa wafu.

Mwalimu, Musa alisema, 'ikiwa mtu amekufa.

Walikuwa wakimuuliza kuhusu alichoandika Musa katika Maandiko. "Musa alisema kwamba ikiwa mtu amekufa."

Ndugu yake...mke wake...ndugu yake.

Kimilikishi "yake" inamaanisha yule mfu