forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
349 B
Markdown
12 lines
349 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Masadukayo wanajaribu kumkamata Yesu kwa kumtega kwa swali gumu kuhusu ndoa na ufufuo wa wafu.
|
||
|
|
||
|
# Mwalimu, Musa alisema, 'ikiwa mtu amekufa.
|
||
|
|
||
|
Walikuwa wakimuuliza kuhusu alichoandika Musa katika Maandiko. "Musa alisema kwamba ikiwa mtu amekufa."
|
||
|
|
||
|
# Ndugu yake...mke wake...ndugu yake.
|
||
|
|
||
|
Kimilikishi "yake" inamaanisha yule mfu
|