forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
731 B
Markdown
32 lines
731 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwajibu viongozi wa dini
|
|
|
|
# ulitoka wapi
|
|
|
|
"alipata mamlaka toka wapi?"
|
|
|
|
# tukisema, ulitoka mbinguni; atatuambia, kwa nini hamkumwamini?
|
|
|
|
"kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka toka mbinguni, Yesu atatuuliza kuwa kwa nini hatukumwamini Yohana"
|
|
|
|
# Toka mbinguni
|
|
|
|
"mbinguni" inamaanisha Mungu."Kutoka kwa Mungu mbinguni"
|
|
|
|
# Kwa nini hamkumwamini?
|
|
|
|
Basi mngekuwa mmemwamini Yohana Mbatizaji"
|
|
|
|
# lakini tukisema, 'ulitoka kwa watu'
|
|
|
|
"lakini kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka kutoka kwa watu"
|
|
|
|
# tunawaogopa watu
|
|
|
|
tunaogopa kile makutano watakachotufikiria au kile watakachotufanyia"
|
|
|
|
# Wote wanamwona Yohana kama nabii
|
|
|
|
"Wanaamini kuwaYohana ni nabii"
|