sw_tn/mat/21/25.md

731 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu viongozi wa dini

ulitoka wapi

"alipata mamlaka toka wapi?"

tukisema, ulitoka mbinguni; atatuambia, kwa nini hamkumwamini?

"kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka toka mbinguni, Yesu atatuuliza kuwa kwa nini hatukumwamini Yohana"

Toka mbinguni

"mbinguni" inamaanisha Mungu."Kutoka kwa Mungu mbinguni"

Kwa nini hamkumwamini?

Basi mngekuwa mmemwamini Yohana Mbatizaji"

lakini tukisema, 'ulitoka kwa watu'

"lakini kama tukisema kuwa tunaamini kuwa Yohana alipokea mamlaka kutoka kwa watu"

tunawaogopa watu

tunaogopa kile makutano watakachotufikiria au kile watakachotufanyia"

Wote wanamwona Yohana kama nabii

"Wanaamini kuwaYohana ni nabii"