sw_tn/mat/20/20.md

16 lines
449 B
Markdown

# Sentensi ungsnishi
Akijibu swali ambalo Yesu aliulizwa na mama wa wale wanafunzi wawili, Yesu anafundisha wanafunzi wake juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine katika ufalme wa mbinguni
# Wana wa Zebedayo
Hii inamaanisha Yakobo na Yohana
# mkono wako wa kulia ... mkono wako wa kushoto
Maana yake ni uwezo wa kuwa na nguvu, mamlaka, na heshima.
# katika ufalme wako
Hapa "ufalme inamaanisha utawala wa Yesu kama mfalme. "utakapokuwa mfalme"