sw_tn/mat/20/20.md

449 B

Sentensi ungsnishi

Akijibu swali ambalo Yesu aliulizwa na mama wa wale wanafunzi wawili, Yesu anafundisha wanafunzi wake juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine katika ufalme wa mbinguni

Wana wa Zebedayo

Hii inamaanisha Yakobo na Yohana

mkono wako wa kulia ... mkono wako wa kushoto

Maana yake ni uwezo wa kuwa na nguvu, mamlaka, na heshima.

katika ufalme wako

Hapa "ufalme inamaanisha utawala wa Yesu kama mfalme. "utakapokuwa mfalme"