forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
|
# Sentensi ungsnishi
|
||
|
|
||
|
Akijibu swali ambalo Yesu aliulizwa na mama wa wale wanafunzi wawili, Yesu anafundisha wanafunzi wake juu ya mamlaka na kuwatumikia wengine katika ufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
# Wana wa Zebedayo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha Yakobo na Yohana
|
||
|
|
||
|
# mkono wako wa kulia ... mkono wako wa kushoto
|
||
|
|
||
|
Maana yake ni uwezo wa kuwa na nguvu, mamlaka, na heshima.
|
||
|
|
||
|
# katika ufalme wako
|
||
|
|
||
|
Hapa "ufalme inamaanisha utawala wa Yesu kama mfalme. "utakapokuwa mfalme"
|