sw_tn/mat/18/04.md

613 B

Sentensi unganishi

Yesu anawafundisha wanafunzi wake kwamba wanahitaji kuwa wanyeyekevu kama watoto ili kuwa watu wa muhimu kwenye ufakme wa mbingini

ni mkuu

ni wa muhimu zaidi aua atakuwa ni wa muhimu

katika ufame wa mbinguni

katika ufalme wa mbinguni

kwa jina langu

kwa sababu yangu

anipokea mimi

ni kama ananipokea mimi

Jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake,na kuzamishwa kilindini mwa bahari.

"kama wangemwekea jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa kilindini mwa bahari"

Jiwe la kusagia

Jiwe kubwa, zito iliyotengenezwa kama duara inayotumika kusagia nafaka kuwa unga .