forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
613 B
Markdown
28 lines
613 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anawafundisha wanafunzi wake kwamba wanahitaji kuwa wanyeyekevu kama watoto ili kuwa watu wa muhimu kwenye ufakme wa mbingini
|
||
|
|
||
|
# ni mkuu
|
||
|
|
||
|
ni wa muhimu zaidi aua atakuwa ni wa muhimu
|
||
|
|
||
|
# katika ufame wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
katika ufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
# kwa jina langu
|
||
|
|
||
|
kwa sababu yangu
|
||
|
|
||
|
# anipokea mimi
|
||
|
|
||
|
ni kama ananipokea mimi
|
||
|
|
||
|
# Jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake,na kuzamishwa kilindini mwa bahari.
|
||
|
|
||
|
"kama wangemwekea jiwe la kusagia shingoni mwake na kumtupa kilindini mwa bahari"
|
||
|
|
||
|
# Jiwe la kusagia
|
||
|
|
||
|
Jiwe kubwa, zito iliyotengenezwa kama duara inayotumika kusagia nafaka kuwa unga .
|