forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.1 KiB
Markdown
44 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendela kumfundisha Petro juu ya kulipa kodi
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa habariinayoanzi 13:54 amabpo mwandishi amaeelza juu ya upinzani wa wa huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni
|
|
|
|
# Petro aliposema kutoka kwa wageni
|
|
|
|
wakati Petro aliposema "ndiyo. hiyo ni sawa ,wafalme hukusanya kodi kutoka kwa wageni"
|
|
|
|
# kutoka kwa wageni
|
|
|
|
Nyakati hizi za leo. wafalme wanatoza kodi toka kwa raia wake, lakini katika nyakati za zamani wafalme walitoza kodi toka kwa watu waliokuwa wamewashinda na si raia wao.
|
|
|
|
# watawaliwa
|
|
|
|
Watu chini ya kiongozi au mfalme.
|
|
|
|
# lakini tusije tukawafanya watoza ushuru kutenda dhambi
|
|
|
|
lakini tusiwafanye watoza ushuru kutenda kuwa na hasira
|
|
|
|
# tupa ndoano
|
|
|
|
wavuvi hufunga ndoano mwisho wa uzi, na kisha huitupa majini ili kukamata samaki
|
|
|
|
# mdomo wake
|
|
|
|
"mdomo wa samaki"
|
|
|
|
# shsekeli
|
|
|
|
sarafu iliyotosha malipo ya kibarau kwa siku moja
|
|
|
|
# chukua
|
|
|
|
chukua shekeli
|
|
|
|
# kwangu na wewe
|
|
|
|
wewe inamaanisha Petro. Kila mwanamume alipaswa kulipa shekeli moja. kwa hiyo Shekel moja iliweza kutosha kwa kodi ya Peteo na Yesu
|