sw_tn/mat/17/26.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendela kumfundisha Petro juu ya kulipa kodi

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwisho wa habariinayoanzi 13:54 amabpo mwandishi amaeelza juu ya upinzani wa wa huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni

Petro aliposema kutoka kwa wageni

wakati Petro aliposema "ndiyo. hiyo ni sawa ,wafalme hukusanya kodi kutoka kwa wageni"

kutoka kwa wageni

Nyakati hizi za leo. wafalme wanatoza kodi toka kwa raia wake, lakini katika nyakati za zamani wafalme walitoza kodi toka kwa watu waliokuwa wamewashinda na si raia wao.

watawaliwa

Watu chini ya kiongozi au mfalme.

lakini tusije tukawafanya watoza ushuru kutenda dhambi

lakini tusiwafanye watoza ushuru kutenda kuwa na hasira

tupa ndoano

wavuvi hufunga ndoano mwisho wa uzi, na kisha huitupa majini ili kukamata samaki

mdomo wake

"mdomo wa samaki"

shsekeli

sarafu iliyotosha malipo ya kibarau kwa siku moja

chukua

chukua shekeli

kwangu na wewe

wewe inamaanisha Petro. Kila mwanamume alipaswa kulipa shekeli moja. kwa hiyo Shekel moja iliweza kutosha kwa kodi ya Peteo na Yesu