forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
370 B
Markdown
16 lines
370 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Tukio lifuatalo lilitokea mara tu baada ya wale wanafunzi watatu kushuhudia Yesu akibadilishwa
|
|
|
|
# Na walipokuwa
|
|
|
|
Na Yesu na wanafunzi wake
|
|
|
|
# mwana wa Adamu
|
|
|
|
yeye anajinenea mwenyewe
|
|
|
|
# kwa nini wandishai husema kuwa Eliya atakuja kwanza?
|
|
|
|
Wanafunzi wanazingatia mafundisho ya kwamba Eliya atarudi kwanza kwa wana wa Israel kabla ya Masihi kurudi
|