sw_tn/mat/17/09.md

370 B

Sentensi unganishi

Tukio lifuatalo lilitokea mara tu baada ya wale wanafunzi watatu kushuhudia Yesu akibadilishwa

Na walipokuwa

Na Yesu na wanafunzi wake

mwana wa Adamu

yeye anajinenea mwenyewe

kwa nini wandishai husema kuwa Eliya atakuja kwanza?

Wanafunzi wanazingatia mafundisho ya kwamba Eliya atarudi kwanza kwa wana wa Israel kabla ya Masihi kurudi