forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
721 B
Markdown
28 lines
721 B
Markdown
# nitkupa wewe
|
|
|
|
neno wewe linamaanisha Petro
|
|
|
|
# Funguo za ufalme wa mbinguni
|
|
|
|
Hapa "funguo" zinamaanisha Yesu akimpatia Petro mamlaka. Hii haimaanishi kuwa Petroni mmliki wa ufalme, lakini ana mamlaka ya kuamu nani ataiingia katika ufalme wa Mungu
|
|
|
|
# ufalme wa mbinguni
|
|
|
|
Ufalme wa mbinguni limetumika katika Mathayo tu. tumia "mbingu"
|
|
|
|
# fungwa duniani...funguliwa mbinguni
|
|
|
|
kuwatangazia watu kusamehewa au kuhukumiwa kama ilivyofanyika mbinguni
|
|
|
|
# funguo
|
|
|
|
kitu kinachotumika kufungua na kufunga milango
|
|
|
|
# chochote utakachokifunga mbinguni ...kifungua duniani kimefungiliwa duniani
|
|
|
|
Mungu wa mbinguni ataruhusu maombi ya Petro kuruhusu au kufunga duniani
|
|
|
|
# itafunga ... itafunguliwa
|
|
|
|
Mungu atafunga .. Mungu atafungua
|