sw_tn/mat/16/19.md

721 B

nitkupa wewe

neno wewe linamaanisha Petro

Funguo za ufalme wa mbinguni

Hapa "funguo" zinamaanisha Yesu akimpatia Petro mamlaka. Hii haimaanishi kuwa Petroni mmliki wa ufalme, lakini ana mamlaka ya kuamu nani ataiingia katika ufalme wa Mungu

ufalme wa mbinguni

Ufalme wa mbinguni limetumika katika Mathayo tu. tumia "mbingu"

fungwa duniani...funguliwa mbinguni

kuwatangazia watu kusamehewa au kuhukumiwa kama ilivyofanyika mbinguni

funguo

kitu kinachotumika kufungua na kufunga milango

chochote utakachokifunga mbinguni ...kifungua duniani kimefungiliwa duniani

Mungu wa mbinguni ataruhusu maombi ya Petro kuruhusu au kufunga duniani

itafunga ... itafunguliwa

Mungu atafunga .. Mungu atafungua