forked from WA-Catalog/sw_tn
721 B
721 B
nitkupa wewe
neno wewe linamaanisha Petro
Funguo za ufalme wa mbinguni
Hapa "funguo" zinamaanisha Yesu akimpatia Petro mamlaka. Hii haimaanishi kuwa Petroni mmliki wa ufalme, lakini ana mamlaka ya kuamu nani ataiingia katika ufalme wa Mungu
ufalme wa mbinguni
Ufalme wa mbinguni limetumika katika Mathayo tu. tumia "mbingu"
fungwa duniani...funguliwa mbinguni
kuwatangazia watu kusamehewa au kuhukumiwa kama ilivyofanyika mbinguni
funguo
kitu kinachotumika kufungua na kufunga milango
chochote utakachokifunga mbinguni ...kifungua duniani kimefungiliwa duniani
Mungu wa mbinguni ataruhusu maombi ya Petro kuruhusu au kufunga duniani
itafunga ... itafunguliwa
Mungu atafunga .. Mungu atafungua