sw_tn/mat/16/17.md

757 B

Simoni Bar Yona

"Simoni, mwana wa Yona"

damu na nyama havikukufunulia hilo

damu na nyama inamaanisha binadamu

hili kwako

neno "hili" inamaanisha jibu la Petro kwamba Yesu ni Kristo mwana wa Mungu aliye juu

Baba yangu aliye mbinguni

Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu

Nami pia ninakwambia

hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

wewe ni Petro

jina Petro linamaanisha "mwamba"

juu y a mwamba huu nitalijenga kanisa

hii inamaanisha kuwa Petro atakuwa kiongozi wa jamii ya watu wanomwamini Yesu

Milango ya kuzimu haitalishinda

Maana zinazowezekana:1)"nguvu za kifo hazitaliweza kanaisa au 2) Kanaisa langu zitaivunja nguvu ya kifo kama jeshi liingiavyo katika mji