forked from WA-Catalog/sw_tn
757 B
757 B
Simoni Bar Yona
"Simoni, mwana wa Yona"
damu na nyama havikukufunulia hilo
damu na nyama inamaanisha binadamu
hili kwako
neno "hili" inamaanisha jibu la Petro kwamba Yesu ni Kristo mwana wa Mungu aliye juu
Baba yangu aliye mbinguni
Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu
Nami pia ninakwambia
hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
wewe ni Petro
jina Petro linamaanisha "mwamba"
juu y a mwamba huu nitalijenga kanisa
hii inamaanisha kuwa Petro atakuwa kiongozi wa jamii ya watu wanomwamini Yesu
Milango ya kuzimu haitalishinda
Maana zinazowezekana:1)"nguvu za kifo hazitaliweza kanaisa au 2) Kanaisa langu zitaivunja nguvu ya kifo kama jeshi liingiavyo katika mji