sw_tn/mat/16/11.md

300 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi wake juu ya Mafarisayo na Masadukayo

Imekuwaje hata hamuelewii kuwa sizungumzi nanyi kuhusu mikate?

"Inatakiwa muelewe kwamba siongei kumaanisha mikate kweli."

chachu ya Mafarisayo n a Masadukayo

tazama 16:12

wao...wao

"wanafunzi"