Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwaonya wanafunzi wake juu ya Mafarisayo na Masadukayo
Imekuwaje hata hamuelewii kuwa sizungumzi nanyi kuhusu mikate?
"Inatakiwa muelewe kwamba siongei kumaanisha mikate kweli."
chachu ya Mafarisayo n a Masadukayo
tazama 16:12
wao...wao
"wanafunzi"