forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
845 B
Markdown
24 lines
845 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kwajibu Mafarisayo
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Katika mstariwa 4, Yesu ananukuu m ara mbili kutoka kitabu cha kutoka ili kuonyesha jinsi Mungu anavyotegemea watu kuwatendea wazazi wao
|
|
|
|
# hakika atakufa
|
|
|
|
watu watamuua
|
|
|
|
# Lakini ninyio husema, 'kila amwambiaye baba yake na mama yake ... mtu huyo hana haja ya kumheshimu baba yake
|
|
|
|
Lakini mnafundisha kuwa mtu hahitajio kuwaheshimu wazazi wake kwa kuwapa kitu ambacho kingeweza kuwasaidia kama mtu atawaambia wazazi wake hivyo tayari ameto zawadi kwa Mungu
|
|
|
|
# hana haja ya kumheshimu baba yake
|
|
|
|
inamaanisha kuwa baba yake ni mzazi wake. Hii inamaanisha kuwa viongozi wa dini waliwafundisha kuwa mtu hana haja ya kumheshimu mzazi wake kwa kumsaidia.
|
|
|
|
# mmelitangua neno la Mungu kwa ajiliya mapkeo yanu
|
|
|
|
Mmezifanya desturi zenu kuwa za muhimu kulikko neno la Mungu
|