sw_tn/mat/15/04.md

845 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kwajibu Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla

Katika mstariwa 4, Yesu ananukuu m ara mbili kutoka kitabu cha kutoka ili kuonyesha jinsi Mungu anavyotegemea watu kuwatendea wazazi wao

hakika atakufa

watu watamuua

Lakini ninyio husema, 'kila amwambiaye baba yake na mama yake ... mtu huyo hana haja ya kumheshimu baba yake

Lakini mnafundisha kuwa mtu hahitajio kuwaheshimu wazazi wake kwa kuwapa kitu ambacho kingeweza kuwasaidia kama mtu atawaambia wazazi wake hivyo tayari ameto zawadi kwa Mungu

hana haja ya kumheshimu baba yake

inamaanisha kuwa baba yake ni mzazi wake. Hii inamaanisha kuwa viongozi wa dini waliwafundisha kuwa mtu hana haja ya kumheshimu mzazi wake kwa kumsaidia.

mmelitangua neno la Mungu kwa ajiliya mapkeo yanu

Mmezifanya desturi zenu kuwa za muhimu kulikko neno la Mungu