sw_tn/mat/13/44.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea juu y a ufalme wa Mungu kwa kutumia mifano miwili ya watu waliouza mali zao kwa kununua kitu cha thamani zaidi

Maelezo kwa ujumla

Katika mifano hii Yesu anatumia milinganyo miwili kuwafundisha wanfanzi wake kuhusu mfano wa ufalme wa mbinguni

Ufalme wa mbinguni ni kama

Tazama ilivyotafsiriwa katika 13:24

kama hazina iliyofichwa shambani

hazina ambayo mtu alificha shambani

hazina

kkitu cha thamani sana au vitu vilivyokusanywa

kuficha

alifunika kwa juu

aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kulinunua shamba lile

Maana yake nin kwamba yule mtu ananunua lile shamba ili ili achukue ile hazina iliyofichwa

ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu ya thamani

maana yake ni kwamba yule mtu alikuwa anatafuta ile luu ya thamani ili aweze kuinunua

mfanya biashara

mchuuzaji au mtu anayeshughulika kuuza vitu vya jumla ambaye mara kwa mara hupata wateaja tokea mbali

lulu ya tahmani

"lulu" ni kitu lain, kigumu, kinachong'aa, cheupe au shanga yenye mng'ao inayopatikana kwenye viumbe wenye asili ya konokono baharini. Lulu ina bei y a juu sana na hutengenezwa vitu vya thamani kama pete.