forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaelezea juu y a ufalme wa Mungu kwa kutumia mifano miwili ya watu waliouza mali zao kwa kununua kitu cha thamani zaidi
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Katika mifano hii Yesu anatumia milinganyo miwili kuwafundisha wanfanzi wake kuhusu mfano wa ufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wa mbinguni ni kama
|
||
|
|
||
|
Tazama ilivyotafsiriwa katika 13:24
|
||
|
|
||
|
# kama hazina iliyofichwa shambani
|
||
|
|
||
|
hazina ambayo mtu alificha shambani
|
||
|
|
||
|
# hazina
|
||
|
|
||
|
kkitu cha thamani sana au vitu vilivyokusanywa
|
||
|
|
||
|
# kuficha
|
||
|
|
||
|
alifunika kwa juu
|
||
|
|
||
|
# aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kulinunua shamba lile
|
||
|
|
||
|
Maana yake nin kwamba yule mtu ananunua lile shamba ili ili achukue ile hazina iliyofichwa
|
||
|
|
||
|
# ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu ya thamani
|
||
|
|
||
|
maana yake ni kwamba yule mtu alikuwa anatafuta ile luu ya thamani ili aweze kuinunua
|
||
|
|
||
|
# mfanya biashara
|
||
|
|
||
|
mchuuzaji au mtu anayeshughulika kuuza vitu vya jumla ambaye mara kwa mara hupata wateaja tokea mbali
|
||
|
|
||
|
# lulu ya tahmani
|
||
|
|
||
|
"lulu" ni kitu lain, kigumu, kinachong'aa, cheupe au shanga yenye mng'ao inayopatikana kwenye viumbe wenye asili ya konokono baharini. Lulu ina bei y a juu sana na hutengenezwa vitu vya thamani kama pete.
|