sw_tn/mat/13/40.md

635 B

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kuwaeleza wanafunzi wake mfano wa shamba lenye magugu na ngano

Kama vile magugu yanavyokusanywa nakuchomwa moto

Kwa hiyo, kama watu wayakusanyavyo magugu na kuyachoma moto"

mwisho wa ulimwengu

mwisho wa nyakati

Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

wale watendao maasi

"wale wasio na sheria" au "watu waovu"

tanuru la moto

moto wa kuzimu

kulia nakusaga meno

Hii inamaanisha huzuni kubwa na mateso

watakapong'aa kama jua

watakuwa rahisi kuwaona kama jua

Baba

hiki ni cheo muhimu cha Mungu

yeye aliye na masikio

kila anayenisikiliza