forked from WA-Catalog/sw_tn
635 B
635 B
Sentensi unganishi
Yesu anamaliza kuwaeleza wanafunzi wake mfano wa shamba lenye magugu na ngano
Kama vile magugu yanavyokusanywa nakuchomwa moto
Kwa hiyo, kama watu wayakusanyavyo magugu na kuyachoma moto"
mwisho wa ulimwengu
mwisho wa nyakati
Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
wale watendao maasi
"wale wasio na sheria" au "watu waovu"
tanuru la moto
moto wa kuzimu
kulia nakusaga meno
Hii inamaanisha huzuni kubwa na mateso
watakapong'aa kama jua
watakuwa rahisi kuwaona kama jua
Baba
hiki ni cheo muhimu cha Mungu
yeye aliye na masikio
kila anayenisikiliza