sw_tn/mat/13/34.md

908 B

Maelezo kwa umumla

Mwandishi anannukuu toka Zaburi kuonesha kuwa mafundisho ya Yesu kwa mfano ni kwa ajili kutimiza unabii

Hayo yote Yesu aliyasema kwa mifano, Na pasipo mifano hakusema chochote kwao

Sentensi zote zina maana moja. Zimeunganishwa kusisitiza kwamba Yesu alifundisha makutano kwa kutumia mifano.

hayo yote

Hii inamaanisha kuwa kile alichofundisha Yesu kinaanzia 13"1

Pasipo mifano hakusema chochote kwao

""hakufundisha chochote isipokuwa kwa mifano"

kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema

alaikifanya kiwe kweli kile alichokuwa amemwambia mmoja wa manabii kukiandika hapo zamani

aliposema

nabii aliposema

nitafumbua kinywa chcangu

Hii ni nahau inayomaanisha kuwa nitasema "nitasema"

yaliyokuwa yamefichwa

mambo ambayo Mungu ameyaficha

tangu misingi ya ulimwengu

"tangu kuanza kwa ulimwengu" au tangu Mungu aumbe ulimwengu"