forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
908 B
Markdown
36 lines
908 B
Markdown
|
# Maelezo kwa umumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anannukuu toka Zaburi kuonesha kuwa mafundisho ya Yesu kwa mfano ni kwa ajili kutimiza unabii
|
||
|
|
||
|
# Hayo yote Yesu aliyasema kwa mifano, Na pasipo mifano hakusema chochote kwao
|
||
|
|
||
|
Sentensi zote zina maana moja. Zimeunganishwa kusisitiza kwamba Yesu alifundisha makutano kwa kutumia mifano.
|
||
|
|
||
|
# hayo yote
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa kile alichofundisha Yesu kinaanzia 13"1
|
||
|
|
||
|
# Pasipo mifano hakusema chochote kwao
|
||
|
|
||
|
""hakufundisha chochote isipokuwa kwa mifano"
|
||
|
|
||
|
# kile kilichokwisha semwa kupitia kwa nabii kiweze kutimia, pale aliposema
|
||
|
|
||
|
alaikifanya kiwe kweli kile alichokuwa amemwambia mmoja wa manabii kukiandika hapo zamani
|
||
|
|
||
|
# aliposema
|
||
|
|
||
|
nabii aliposema
|
||
|
|
||
|
# nitafumbua kinywa chcangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau inayomaanisha kuwa nitasema "nitasema"
|
||
|
|
||
|
# yaliyokuwa yamefichwa
|
||
|
|
||
|
mambo ambayo Mungu ameyaficha
|
||
|
|
||
|
# tangu misingi ya ulimwengu
|
||
|
|
||
|
"tangu kuanza kwa ulimwengu" au tangu Mungu aumbe ulimwengu"
|