sw_tn/mat/13/03.md

918 B

Sentensi unganishi

Yesu anafafanua juu ya ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mpanzi

Yesu alisema maneno mengi kwa mfano

"Yesu aliwaambia maneno mengi kwa mifano"

nao

"kwa wale watu kwenye mkutano"

Tazama

"angalia" au "sikiliza." neno hili linavuta usukivu wa kile Yesu anachotaka kusema baadaye. "uwe tayari kusikiliza jambo amablo nataka kuwaambia"

mpanzi alienda kupanda

"mpanzi alienda kumwaga mbegu shambani"

alipokuwa akipanda

"mpanzi alipokuwa akiendelea kumwaga mbegu"

kandoya njia

Hii inamanisha "njiani wanapopita" peembeni mwa shamba. araidhi ya pale ni ngumu kwa sababu ya watu kuikanyaga.

wakazidonoa

"wakazila mbegu zote"

juu ya mwamba

Hii ni eneo lililojaa miamba na sehemu nyembamba ya udongo ulio juu ya miamba

Ghafla zilichipuka

"zile mbegu zilimea na kukua"

zilichomwa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "jua lilichoma ile mimea na ikaungua"