forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
918 B
Markdown
44 lines
918 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anafafanua juu ya ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mpanzi
|
||
|
|
||
|
# Yesu alisema maneno mengi kwa mfano
|
||
|
|
||
|
"Yesu aliwaambia maneno mengi kwa mifano"
|
||
|
|
||
|
# nao
|
||
|
|
||
|
"kwa wale watu kwenye mkutano"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"angalia" au "sikiliza." neno hili linavuta usukivu wa kile Yesu anachotaka kusema baadaye. "uwe tayari kusikiliza jambo amablo nataka kuwaambia"
|
||
|
|
||
|
# mpanzi alienda kupanda
|
||
|
|
||
|
"mpanzi alienda kumwaga mbegu shambani"
|
||
|
|
||
|
# alipokuwa akipanda
|
||
|
|
||
|
"mpanzi alipokuwa akiendelea kumwaga mbegu"
|
||
|
|
||
|
# kandoya njia
|
||
|
|
||
|
Hii inamanisha "njiani wanapopita" peembeni mwa shamba. araidhi ya pale ni ngumu kwa sababu ya watu kuikanyaga.
|
||
|
|
||
|
# wakazidonoa
|
||
|
|
||
|
"wakazila mbegu zote"
|
||
|
|
||
|
# juu ya mwamba
|
||
|
|
||
|
Hii ni eneo lililojaa miamba na sehemu nyembamba ya udongo ulio juu ya miamba
|
||
|
|
||
|
# Ghafla zilichipuka
|
||
|
|
||
|
"zile mbegu zilimea na kukua"
|
||
|
|
||
|
# zilichomwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "jua lilichoma ile mimea na ikaungua"
|