forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
654 B
Markdown
32 lines
654 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo
|
|
|
|
# Watu wa ninawi
|
|
|
|
"Raia wa Ninawi"
|
|
|
|
# watasimama mbele ya watu pamoja na kizazi cha watu hawa
|
|
|
|
"watasimama siku ya hukumu na kuwahukumu kizazi hiki"
|
|
|
|
# Kizazi cha watu hawa
|
|
|
|
Yesu anamaanisha watu walioishikipindi hiki
|
|
|
|
# watakihukumu
|
|
|
|
Atakuwa Mungu atayekihukumu kizazi cha watu wa Yesu
|
|
|
|
# na tazama
|
|
|
|
"na angalia" Hii inatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
|
|
|
|
# mtu fulani mkuu
|
|
|
|
"mtu wa muhimu sana"
|
|
|
|
# kulikoYona yuko hapa
|
|
|
|
Unaweza kifanya maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "kuliko Yona yuko hapa, Lakini bado hamjatubu, hii ndiyo sababu Mungu atawahukumu.
|