sw_tn/mat/12/41.md

654 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo

Watu wa ninawi

"Raia wa Ninawi"

watasimama mbele ya watu pamoja na kizazi cha watu hawa

"watasimama siku ya hukumu na kuwahukumu kizazi hiki"

Kizazi cha watu hawa

Yesu anamaanisha watu walioishikipindi hiki

watakihukumu

Atakuwa Mungu atayekihukumu kizazi cha watu wa Yesu

na tazama

"na angalia" Hii inatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

mtu fulani mkuu

"mtu wa muhimu sana"

kulikoYona yuko hapa

Unaweza kifanya maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "kuliko Yona yuko hapa, Lakini bado hamjatubu, hii ndiyo sababu Mungu atawahukumu.