forked from WA-Catalog/sw_tn
654 B
654 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisayo
Watu wa ninawi
"Raia wa Ninawi"
watasimama mbele ya watu pamoja na kizazi cha watu hawa
"watasimama siku ya hukumu na kuwahukumu kizazi hiki"
Kizazi cha watu hawa
Yesu anamaanisha watu walioishikipindi hiki
watakihukumu
Atakuwa Mungu atayekihukumu kizazi cha watu wa Yesu
na tazama
"na angalia" Hii inatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
mtu fulani mkuu
"mtu wa muhimu sana"
kulikoYona yuko hapa
Unaweza kifanya maana ya sentensi ya Yesu iliyofumbwa kuwa wazi. "kuliko Yona yuko hapa, Lakini bado hamjatubu, hii ndiyo sababu Mungu atawahukumu.