sw_tn/mat/12/31.md

1.2 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo

nasema kwenu

Hii inaongeza msisitizo wakile Yesu alichosema baadaye

sema kwenu

Hapa "kwenj" ni wingi. Yesu anaongea moja kwa moja na Mafarisayo, lakini pia anwafundisha makutano

kila dhambi na kufuruwatu watasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atasamahe kila dhambi ambayo watu wanafanya na kila jambo ovu wanlosema

ila kumkufuru Roho Mtakatifu watu hawatasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu yule amabye anasema mabo maovu dhidi ya Roho Mtakatifu.

Na yeyotte asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu

Hapa "neno" linamaanisha kile amabcho mtu husema, "N kama mtu atasema chchote kibaya kuhusu Mwana wa Adamu"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake mwenyewe

hilo atasamahewa

Hili linaweza kuelezwa katikamfumo tendaji. "Mungu atamsamehe mtu kwa ajiloi yahilo"

huyo hatasamehewa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu huyo"

katika ulimwengu huu, na wala ule ujao

Hapa " ulimwengu huu" na " ule ujao" inamaanisha maisha haya ya leo na maisha yajayo. " katika maisha haya au yajayo" au "sasa au baadaye"