1.2 KiB
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo
nasema kwenu
Hii inaongeza msisitizo wakile Yesu alichosema baadaye
sema kwenu
Hapa "kwenj" ni wingi. Yesu anaongea moja kwa moja na Mafarisayo, lakini pia anwafundisha makutano
kila dhambi na kufuruwatu watasamehewa
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atasamahe kila dhambi ambayo watu wanafanya na kila jambo ovu wanlosema
ila kumkufuru Roho Mtakatifu watu hawatasamehewa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu yule amabye anasema mabo maovu dhidi ya Roho Mtakatifu.
Na yeyotte asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu
Hapa "neno" linamaanisha kile amabcho mtu husema, "N kama mtu atasema chchote kibaya kuhusu Mwana wa Adamu"
Mwana wa Adamu
Yesu anaongea juu yake mwenyewe
hilo atasamahewa
Hili linaweza kuelezwa katikamfumo tendaji. "Mungu atamsamehe mtu kwa ajiloi yahilo"
huyo hatasamehewa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu huyo"
katika ulimwengu huu, na wala ule ujao
Hapa " ulimwengu huu" na " ule ujao" inamaanisha maisha haya ya leo na maisha yajayo. " katika maisha haya au yajayo" au "sasa au baadaye"