forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.2 KiB
Markdown
40 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuwajibu Mafarisayo
|
||
|
|
||
|
# nasema kwenu
|
||
|
|
||
|
Hii inaongeza msisitizo wakile Yesu alichosema baadaye
|
||
|
|
||
|
# sema kwenu
|
||
|
|
||
|
Hapa "kwenj" ni wingi. Yesu anaongea moja kwa moja na Mafarisayo, lakini pia anwafundisha makutano
|
||
|
|
||
|
# kila dhambi na kufuruwatu watasamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atasamahe kila dhambi ambayo watu wanafanya na kila jambo ovu wanlosema
|
||
|
|
||
|
# ila kumkufuru Roho Mtakatifu watu hawatasamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu yule amabye anasema mabo maovu dhidi ya Roho Mtakatifu.
|
||
|
|
||
|
# Na yeyotte asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Hapa "neno" linamaanisha kile amabcho mtu husema, "N kama mtu atasema chchote kibaya kuhusu Mwana wa Adamu"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Yesu anaongea juu yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
# hilo atasamahewa
|
||
|
|
||
|
Hili linaweza kuelezwa katikamfumo tendaji. "Mungu atamsamehe mtu kwa ajiloi yahilo"
|
||
|
|
||
|
# huyo hatasamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Mungu hatamsamehe mtu huyo"
|
||
|
|
||
|
# katika ulimwengu huu, na wala ule ujao
|
||
|
|
||
|
Hapa " ulimwengu huu" na " ule ujao" inamaanisha maisha haya ya leo na maisha yajayo. " katika maisha haya au yajayo" au "sasa au baadaye"
|