sw_tn/mat/12/19.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Mathayo anaendelea kumnukuu Isaya

wala awaye yote kusikia sauti yake mitaani

hapa "sauti" inamaanisha nafsi kamili "na hataongea kwa sauti"

yake ... hata

Viwakilishivyote hivi vinamaanisha mtumishi wa Mungualiyechaguliwa

mitaani

Hii ni nahau inayomaanisha "umma."katika miji"

hatalivunja tet liliochubuliwa .. hatazima utambi wowote unatoa moshi

Senttensi hizi zote zinamaanisha kitu kilekile. Ni sitiari zinazosisitiza kuwa mtumishi wa Mungu atakuwa mnyenyekevu na mpole. Vyote "tete lililochubuliwa na utambi utoa moshi" vinawakilisha watu dhaifu na wenye kudhuru.

hatalivunja

"hataliweka nje"

utambi utoa moto

Hii inamaanisha utambi ambao moto umezima lakini bado unatoa moshi

moshi, mpaka

Hii inaweza kutafsiriwa kwa sentensi mpya; "moshi Hiki ndicho atachofanya"

Mpaka atakapoleta hukumu ikashinda

"mpaka atakapofaulu kuleta haki na wokovu kwa watu. Maana ya nomino dhania "hukumu" inaweza kutafsiriwa kama "haki" au "okoa". "watuwajue kuwa mimi ni wa haki na nitawaokoa"

katika jina lake

Hapa "jina" linamaanisha nafsi kamili