forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi.
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kutohofia dhiki itakayowakabili.
|
|
|
|
# Yeye atakaye
|
|
|
|
Neno "yeye" linamaanisha mtu yeyote. "yeyote" au "yeyote ambaye" au " ambaye"
|
|
|
|
# atakayewakaribisha
|
|
|
|
Inamaanisha kumkaribisha mtu kama mgeni
|
|
|
|
# Wa
|
|
|
|
Kiwakilishi "wa" kinamaanisha mitume kumi na wawili ambao Yesu anawaaambia.
|
|
|
|
# ananikaribisha mimi
|
|
|
|
Yesu anamaanisha ni sawa na kumkaribisha yeye. "ni kama ananikaribisha mimi" au "ni kama vile alikuwa ananikaribisha mimi"
|
|
|
|
# kumkaribisha yeye aliyenituma
|
|
|
|
Hii inamaanisha wakati mtu anamkaribisha Yesu ni sawa na kumkaribisha Mungu. "ni kama vile kumkaribisha Mungu aliyenituma"
|
|
|
|
# Kwa sababu ni nabii
|
|
|
|
Hapa kiwakilishi cha "ni" kinamaanisha mtu anayekaribishwa.
|
|
|
|
# thawabu ya nabii
|
|
|
|
Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu anampa nabii. wala siyo zawadi ambayo nabii anampatia mtu mwingine.
|
|
|
|
# mtu wa haki
|
|
|
|
Hapa "wa" haimaanishi mtu anayekaribisha. Inamaaanisha mtu anayekaribishwa.
|
|
|
|
# thawabu ya mtu wa haki
|
|
|
|
Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu humpa mtu wa haki, siyo zawadi ambayo mtu wa haki humpatia mtu mwingine.
|