sw_tn/mat/10/40.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi.

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu kutohofia dhiki itakayowakabili.

Yeye atakaye

Neno "yeye" linamaanisha mtu yeyote. "yeyote" au "yeyote ambaye" au " ambaye"

atakayewakaribisha

Inamaanisha kumkaribisha mtu kama mgeni

Wa

Kiwakilishi "wa" kinamaanisha mitume kumi na wawili ambao Yesu anawaaambia.

ananikaribisha mimi

Yesu anamaanisha ni sawa na kumkaribisha yeye. "ni kama ananikaribisha mimi" au "ni kama vile alikuwa ananikaribisha mimi"

kumkaribisha yeye aliyenituma

Hii inamaanisha wakati mtu anamkaribisha Yesu ni sawa na kumkaribisha Mungu. "ni kama vile kumkaribisha Mungu aliyenituma"

Kwa sababu ni nabii

Hapa kiwakilishi cha "ni" kinamaanisha mtu anayekaribishwa.

thawabu ya nabii

Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu anampa nabii. wala siyo zawadi ambayo nabii anampatia mtu mwingine.

mtu wa haki

Hapa "wa" haimaanishi mtu anayekaribisha. Inamaaanisha mtu anayekaribishwa.

thawabu ya mtu wa haki

Hii inamaanisha zawadi ambayo Mungu humpa mtu wa haki, siyo zawadi ambayo mtu wa haki humpatia mtu mwingine.