sw_tn/mat/10/34.md

532 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki ambayo itawapata.

Msifikiri

"Msidhani" au "msilazimike kufikiri"

duniani

Hii inamaanisha watu wanaoishi duniani. "kwa watu wa duniani" au "kwa watu"

upanga

Hii inamaanisha mgawanyiko, mapigano, na mauji kati ya watu

weka

"kugeuka" au "kugawanya" au "kutenganisha"

mtu dhidi ya baba yake

"mwana dhidi ya baba yake"

Adui wa mtu

"Adui wa mtu" au "Adui mbaya wa mtu"

wale wa nyumbani mwake

"watu wa familia yake"