forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
532 B
Markdown
32 lines
532 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki ambayo itawapata.
|
||
|
|
||
|
# Msifikiri
|
||
|
|
||
|
"Msidhani" au "msilazimike kufikiri"
|
||
|
|
||
|
# duniani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wanaoishi duniani. "kwa watu wa duniani" au "kwa watu"
|
||
|
|
||
|
# upanga
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mgawanyiko, mapigano, na mauji kati ya watu
|
||
|
|
||
|
# weka
|
||
|
|
||
|
"kugeuka" au "kugawanya" au "kutenganisha"
|
||
|
|
||
|
# mtu dhidi ya baba yake
|
||
|
|
||
|
"mwana dhidi ya baba yake"
|
||
|
|
||
|
# Adui wa mtu
|
||
|
|
||
|
"Adui wa mtu" au "Adui mbaya wa mtu"
|
||
|
|
||
|
# wale wa nyumbani mwake
|
||
|
|
||
|
"watu wa familia yake"
|