forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
907 B
Markdown
36 lines
907 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kumponya mtu aliyepooza. Kisha Yesu akamwita mtoza ushuru kuawa mmoja wa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# ambaye amewapa
|
|
|
|
"kwa sababu amewapa"
|
|
|
|
# mamlaka hayo
|
|
|
|
mamlaka ya kuthibitisha kusamehe dhambi
|
|
|
|
# Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo
|
|
|
|
Kirai hiki kinaonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kamalugha yako ina namna ya kufanya hili, unaweza kulitumia mahali hapa.
|
|
|
|
# akaipita kutoka hapo
|
|
|
|
"alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda"
|
|
|
|
# Mathayo...naye...Yeye
|
|
|
|
Utamaduni wa kanisa unasema Mathayo ni mwandishi wa hii Injili, lakini andiko halitoi sababu ya kubadilisha kiwakilishi kutoka "naye" na "yeye" kwa "kwangu" na "mimi"
|
|
|
|
# Yeye alisema naye
|
|
|
|
"Yesu alisema na Mathayo"
|
|
|
|
# naye akamwambia
|
|
|
|
"Yesu alimwambia Mathayo"
|
|
|
|
# Naye akasimama na kumfuata yeye
|
|
|
|
"Mathayo alisimama na kumfuata yeye" kama mwanafunzi, siyo tu kujumuika na Yesu kwa kinachofuata kukamilisha.
|