sw_tn/mat/09/07.md

907 B

Sentensi unganishi

Hii inahitimisha habari ya Yesu ya kumponya mtu aliyepooza. Kisha Yesu akamwita mtoza ushuru kuawa mmoja wa wanafunzi wake.

ambaye amewapa

"kwa sababu amewapa"

mamlaka hayo

mamlaka ya kuthibitisha kusamehe dhambi

Na Yesu alipokuwa akipita kutoka hapo

Kirai hiki kinaonyesha mwanzo wa simulizi mpya. Kamalugha yako ina namna ya kufanya hili, unaweza kulitumia mahali hapa.

akaipita kutoka hapo

"alikuwa akiondoka" au "alikuwa akienda"

Mathayo...naye...Yeye

Utamaduni wa kanisa unasema Mathayo ni mwandishi wa hii Injili, lakini andiko halitoi sababu ya kubadilisha kiwakilishi kutoka "naye" na "yeye" kwa "kwangu" na "mimi"

Yeye alisema naye

"Yesu alisema na Mathayo"

naye akamwambia

"Yesu alimwambia Mathayo"

Naye akasimama na kumfuata yeye

"Mathayo alisimama na kumfuata yeye" kama mwanafunzi, siyo tu kujumuika na Yesu kwa kinachofuata kukamilisha.